Ufunuo wa Yohana 10 : 6 Revelation chapter 10 verse 6

Swahili English Translation

Ufunuo wa Yohana 10:6

akaapa kwa yeye aliye hai hata milele na milele, yeye aliyeziumba mbingu na vitu vilivyomo, na nchi na vitu vilivyomo, na bahari na vitu vilivyomo, ya kwamba hapatakuwa na wakati baada ya haya;
soma Mlango wa 10

Revelation 10:6

and swore by him who lives forever and ever, who created heaven and the things that are in it, the earth and the things that are in it, and the sea and the things that are in it, that there will no longer be delay,